forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
638 B
Markdown
20 lines
638 B
Markdown
|
# Tulikuja Makedonia
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi"lina maanisha Paulo na Timotheo na siyo Wakorintho au Tito.
|
||
|
|
||
|
# miili yetu haikuwa na pumzikO
|
||
|
|
||
|
neno "miili"linaelezea utu wote wa mwanadamu
|
||
|
|
||
|
# Tulipata taabu kwa namna zote
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji: " tulipitia mateso katika kila njia"
|
||
|
|
||
|
# tulipata taabu kwa namna zote kwa kupigwa vita upande wa nje na hofu upande wa ndani
|
||
|
|
||
|
Maana zinazopendekezwa kwa neno" nje" "ni nje ya miili yetu" au "nje ya kanisa." Neno "ndani" linaelezea hisia zao za ndani.
|
||
|
|
||
|
# kwa faraja zile Tito alizopokea kutoka kwenu
|
||
|
|
||
|
Paulo alipokea faraja kwa katika kutambua kuwa Wakorintho walikuwa wamemfariji Tito
|