forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
746 B
Markdown
21 lines
746 B
Markdown
|
# Habari za Jumla
|
||
|
|
||
|
Paulo anaorodhesha mitazamo mingi jinsi watu wanavyofikiri juu yake na huduma yake.
|
||
|
|
||
|
# Tunatuhumiwa kuwa wadanganyifu
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "watu hutushtaki kwa kuwa wadanganyifu"
|
||
|
|
||
|
# kana kwamba hatujulikani na bado tunajulikana vizuri.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii:
|
||
|
"ikiwa kama watu hawakututambua sisi na bado watu wanatutambua vizuri"
|
||
|
|
||
|
# Tazama!
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" linatukumbusha kusikiliza kwa makini habari za kushangaza zinazofuata.
|
||
|
|
||
|
# Tunafanya kazi kama tunaoadhibiwa kwa ajili ya matendo yetu lakini sio kama vile waliohukumiwa hata kufa.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa hivi": "tunatemda kazi kama vile watu wanatuadhibu kwa matendo yetulakini siyo kama vile wametuhukumu kufa"
|