forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
435 B
Markdown
16 lines
435 B
Markdown
|
# Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu ya moyo wako ulipondeka.
|
||
|
|
||
|
" Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu moyo wako ulipondeka -ukakubali kubadilika".
|
||
|
|
||
|
# .Umeyalarua mavazi yako.
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuw ishara ya hudhuni na toba.
|
||
|
|
||
|
# Nitakukusanya pakwa babu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani.
|
||
|
|
||
|
"Utakufa."
|
||
|
|
||
|
# Macho yako hayataona.
|
||
|
|
||
|
"Hautaonja au kusshudia."
|