forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
577 B
Markdown
16 lines
577 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii ni ordha ya majina ya makuhani na watumishi mbali mbali wa mfalme katika nhyumba ya Mungu kwa wakatai huo.
|
||
|
|
||
|
# Mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu.
|
||
|
|
||
|
"Maulize ili mjue ambacho Yahwe anataka nifanye".
|
||
|
|
||
|
# "Kwa sababu ya maneno ya kitabu"
|
||
|
|
||
|
"Kwa mjibu wa yale yaliyoandikwa katika kitabu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana ni kikuu, gadhabu ya Yahwe ambayo imemiminwa juu yetu. Ni kuu.
|
||
|
|
||
|
Aina ya hisia kama gadhabaau au hasira huzungumzwa kama kimiminika; kwa kuwa gadhabu ya Yahwe dhidi yetu ni kuu, kama vile maji ambayo yanauwezo wa kuosha kabisa na kutufutilia mbali".
|