forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
308 B
Markdown
8 lines
308 B
Markdown
|
# Ili kuwaogopesha na kuwasumbua.
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vina maana ya kitu kimoja na vinasisitiza swala la hofu ("kuwafanya waogope sana.")
|
||
|
|
||
|
# Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia.
|
||
|
|
||
|
"Wakamdhihaki Mungu wa Yerusalemu kama walivyokuwa wamewadhihaki miungu wa watu wengine wa Dunia."
|