sw_tn/2ch/30/16.md

8 lines
196 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Wakasimama katika makundi yao.
Walisimama katika dhamu zao au sehemu zao walizopangiwa.
# Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka
Kwa kufuata desturi na taratibu waliwachinja wanakondoo wa Pasaka.