forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
333 B
Markdown
12 lines
333 B
Markdown
|
# Zedekia mwana wa Kanaani
|
||
|
|
||
|
Huyu siyo Zedikia aliyetajwa ahapo juu, bali ni nabii mwaminifu kwa Ahabu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa anjia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?
|
||
|
|
||
|
"Roho wa Mungu hakutoka kwangu ili aje kusema nawe."
|
||
|
|
||
|
# Mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.
|
||
|
|
||
|
"Mtakapokimbia, kwa hofu kujificha."
|