forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
321 B
Markdown
16 lines
321 B
Markdown
|
# Abiya akalala pamoja na babu zake
|
||
|
|
||
|
"Hii ina maana kwamba Abiya akafa na kuzikwa pamoja na babu zake.
|
||
|
|
||
|
# Katika siku zake.
|
||
|
|
||
|
Katika kipindi cha utawala wake.
|
||
|
|
||
|
# Katika siku yake nchi ilikuwa tulivu kwa miaka kumi.
|
||
|
|
||
|
"Palikuwa na amani katika nchi kwa miaka kumi"
|
||
|
|
||
|
# Katika macho ya Yahwe Mungu wake
|
||
|
|
||
|
"Kama Yahwe atakavyo"
|