forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
591 B
Markdown
36 lines
591 B
Markdown
|
# Upendo wa ndugu
|
||
|
|
||
|
"upendo kwa waamini wenzako"
|
||
|
|
||
|
# Mlifanya yote kwa ndugu walioko Makedonia yote.
|
||
|
|
||
|
"mlionesha upendo kwa waamini wa Makedonia"
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako
|
||
|
|
||
|
# Mtamani
|
||
|
|
||
|
"Kujiingiza" au "kujitahidi kwa bidii"
|
||
|
|
||
|
# Fanya shughuli zako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha usiingilie mambo ya watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# Fanya kazi kwa mikono yako
|
||
|
|
||
|
"mfanye kazi zenu wenyewe ili mpate kile mnachookiitaji"
|
||
|
|
||
|
# Tembea kwa usahihi
|
||
|
|
||
|
"Ishi kwa heshima na tabia njema"
|
||
|
|
||
|
# Wale walioko nje ya imani
|
||
|
|
||
|
"wale ambao sio waamini wa Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Usihitaji kitu chochote
|
||
|
|
||
|
"Usipungukiwe na hitaji lolote"
|