forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
405 B
Markdown
12 lines
405 B
Markdown
|
# kijana mmojawapo alimwambia Abigaili, mke wa Nabali akasema
|
||
|
|
||
|
"Mmoja wa watumishi wa Nabali aligundua kitu ambacho Daudi na watu wake walipanga kufanya, hivyo akaenda kwa mke wa NAbali Abigaili"
|
||
|
|
||
|
# Hatukudhurika
|
||
|
|
||
|
"hakuna mtu aliyetudhuru" au "tulikuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# na hatukupoteza chochote wakati wote tulipotembea nao
|
||
|
|
||
|
Watu wa Daudi waliwazuia wanyama wa mwituni na watu wengine wasiibe mifugo ya Nabali.
|