forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
646 B
Markdown
20 lines
646 B
Markdown
|
# Agagi akafika kwake akiwa amefungwa minyororo
|
||
|
|
||
|
"walimpeleka Agagi akiwa amefungwa minyororo"
|
||
|
|
||
|
# Hakika uchungu wa kifo umepita
|
||
|
|
||
|
"Kwa hakika sipo tena katika hatari au kufa"
|
||
|
|
||
|
# Jinsi upanga wako ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto miongoni mwa wanawake
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana moja "Kwa kuwa umewaua watu, wewe pia utauawa"
|
||
|
|
||
|
# ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto
|
||
|
|
||
|
"umewaua watoto wa wanawake wengine, hivyo nitamuua mtoto wa mama yako"
|
||
|
|
||
|
# Kisha Samweli akamkata Agagi vipande vipande
|
||
|
|
||
|
Samweli aliimaliza kazi ambayo Bwana alimuamuru Samweli alifanye.
|