forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
314 B
Markdown
16 lines
314 B
Markdown
|
# Jabali moja liliitwa Bosesi
|
||
|
|
||
|
Jabali ni mwamba wenye mteremko mkali. Jabali hili lilijulikana sana na lilipewa jina la "Bosesi"
|
||
|
|
||
|
# Jabali lingine liliitwa Sene
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jina la jabali lingine.
|
||
|
|
||
|
# Mikmashi
|
||
|
|
||
|
"Mikmashi" ulikuwa mji kaskazini mwaYerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Geba
|
||
|
|
||
|
"Geba" ulikuwa mji kaskazini mwaYerusalemu.
|