forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
599 B
Markdown
20 lines
599 B
Markdown
|
# Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu
|
||
|
|
||
|
Roho ya Bwana ikamchochea Sauli. Ikamfanya Sauli asababishe watu wamuogope kwa kumuheshimu kama mfalme wao na kujiunga na jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# asiyejitokeza akimfuata
|
||
|
|
||
|
Sauli aliwaita watu wote wa Israeli waende kupigana dhidi ya Nahashi na Waamoni.
|
||
|
|
||
|
# Na hofu ya Bwana ikawaingia watu
|
||
|
|
||
|
Bwana akasababisha watu wamuogope na kumuheshimu Sauli kama mfalme wao.
|
||
|
|
||
|
# Beseki
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji ulikokuwa karibu na Yabeshi Gileadi.
|
||
|
|
||
|
# watu wa Israeli walikuwa mia tatu elfu, na watu wa Yuda elfu thelathini.
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa yuda walikuwa 30,000"
|