forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
519 B
Markdown
16 lines
519 B
Markdown
|
# Bwana alikuja na kusimama
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa na maana ya 1) Bwana alimtokea Samweli na kusimama mbele yake au 2) Bwana alifanya uwepo wake uonekane kwa Samweli.
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako ana
|
||
|
|
||
|
Samweli anazungumza na Bwana na kuonesha heshima.
|
||
|
|
||
|
# ambalo masikio ya kila mmoja yakisikia yatashtuka
|
||
|
|
||
|
Hapa "masikio ... yatashtuka" inamaanisha kuwa kila mtu atashituka kutokana na kitu atakachokisikia.
|
||
|
|
||
|
# Kushtuka
|
||
|
|
||
|
Kuhisi kama vile mtu anakuchoma na kitu chenye ncha au kushtuka kwa sababu mtu amepiga kibao sehemu fulani ya mwili.
|