forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
613 B
Markdown
24 lines
613 B
Markdown
|
# Mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Mara nyingi humaanisha nabii wa Bwana. "Mtu anayesikia na kusema maneno toka kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Je, sikujifunua mwenyewe ... nyumba?
|
||
|
|
||
|
Swali hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi "Mnapaswa kujua kuwa nilijifunua mwenyewe ... nyumba."
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya baba zako
|
||
|
|
||
|
"Nyumba" inamaanisha watu wanaokaa ndani ya nyumba. "Famila ya baba zako"
|
||
|
|
||
|
# Baba yako
|
||
|
|
||
|
Haruni
|
||
|
|
||
|
# apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya kutoa sadaka kwa Bwana.
|
||
|
|
||
|
# kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu
|
||
|
|
||
|
Maneno "kuvaa kanzu ya naivera" inaonesha kazi ya makuhani wanaovaa naivera. "Kufanya niliyowaamuru makuhani wafanye"
|