forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
663 B
Markdown
24 lines
663 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Maneno "yeye" na "Aliye" humrejea Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu ambacho huelezea uhusiano wake kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# ametupatia ujuzi
|
||
|
|
||
|
"ametuwezesha kumwelewa huyo kweli"
|
||
|
|
||
|
# uzima
|
||
|
|
||
|
Hapa, neno "uzima" husimama kwa niaba ya haki ya kuishi milele kwa neema na pendo la Mungu. Tazama maelezo katika1:1.
|
||
|
|
||
|
# Yeye ni... uzima wa milele
|
||
|
|
||
|
hili linasimama kwa niaba ya wazo kwamba Kristo hutupatia uzima wa milele.
|
||
|
|
||
|
# Watoto
|
||
|
|
||
|
Yohana alitumia maelezo haya kuonyesha kuonyesha upendo wake kwa ajili yao. : "Watoto wangu katika Kristo" au "ninyi mlio wapendwa kwangu kama watoto wangu mwenyewe." Tazama lilivyotafsiriwa katika 2:1.
|