forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
569 B
Markdown
12 lines
569 B
Markdown
|
# Maelezo ya Julama
|
||
|
|
||
|
Katika Agano La Kale neno kutia "mafuta" lilimaanisha kumimina mafuta juu ya mtu ili kumtenga kwa ajili ya kumtumikia Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Lakini mumetiwa mafuta na yule Mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Bali Yule Mtakatifu amewatia mafuta ninyi. Hapa "kutia mafuta" humaanisha kazi ya Yesu kuwapa waaminio Roho Mtakatifu ili kuwatenga kwa ajili ya kumtumikia Mungu. : "Lakini Kristo, aliye Mtakatifu, amwapa ninyi Roho wake Mtakaifu"
|
||
|
|
||
|
# hakuna uongo kwa ile kweli
|
||
|
|
||
|
Hapa tendo la kuema uongo limzungumzwa kana kwamba ni kitu. : "hakuna uongo ujao kutoka kwa Mungu ambaye ni kweli.
|