forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
414 B
Markdown
12 lines
414 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha tena kuhusu sheria ya uhuru na kufanya kila kitu kwa faida ya wengine
|
||
|
|
||
|
# Vitu vyote ni halali,
|
||
|
|
||
|
Hapa inaweza kumaanisha 1) Paulo pengine anatoa majibu kutokan na mawazo wanayofikiria Wakorintho " wengine wanasema, 'Naweza kufanya jambo lolote'" au 2) Paulo anasema kile anachodhani ni kweli, " Mungu ameniruhusu nifanye kila kitu."
|
||
|
|
||
|
# viwajengavyo watu.
|
||
|
|
||
|
"wasaidie watu"
|