sw_tn/1co/08/intro.md

18 lines
634 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 1 Wakorintho 08 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Katika Sura ya 8-10, Paulo anajibu swali hili: "Je, inakubalika kula nyama ambayo imetolewa dhabihu kwa sanamu?"
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Nyama iliyotolewa dhabihu kwa sanamu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Paulo anajibu swali hili kwa kusema kwamba sanamu ni miungu ambayo haipo. Kwa hiyo hakuna ubaya wowote kwa hiyo nyama. Wakristo wana uhuru wa kula. Hata hivyo, mtu asiyeelewa hii anaweza kuona Mkristo akila. Wanaweza kisha kuhimizwa kula nyama kama kitendo cha ibada kwa sanamu.
## Links:
* __[1 Corinthians 08:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__