forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
579 B
Markdown
24 lines
579 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
mli..msi.. ni maneneo kuonyesha wingi, yanahusu wakristo wote.
|
||
|
|
||
|
# katika wito
|
||
|
|
||
|
Hapa "wito"inaonyesha kwa kazi au nafasi ya jamii katika sehemu uliyokuwa unajihusisha. "ishi na fanya kazi kama ulivyofanya."
|
||
|
|
||
|
# Ulikuwa mtumwa ulipoitwa na Mungu?
|
||
|
|
||
|
"Kwa wale amabao walikuwa watumwa walipoitwa na Mungu kuamini."
|
||
|
|
||
|
# Mtu huru wa Bwana
|
||
|
|
||
|
Hii mtu huru ni mmesamehewa na Mungu and kwa hiyouhuru kutoka kwa Shetani na dhambi.
|
||
|
|
||
|
# Mmeshanunuliwa kwa thamani
|
||
|
|
||
|
"Kristo amewanunuakwa kufa kwa ajili yenu"
|
||
|
|
||
|
# Tulipoitwa kuamini
|
||
|
|
||
|
"Wakati Mungu alipotuita kuamini katika yeye"
|