sw_mrk_text_ulb/06/51.txt

1 line
175 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 51 Akaingia ndani ya mashua, na upepo ukaacha kuvuma, nao wakamshangaa kabisa. \v 52 Hivyo hawakuwa wameelewa maana ya ile mikate. Maana akili zao zilikuwa na uelewa mdogo.