1 line
184 B
Plaintext
1 line
184 B
Plaintext
|
\v 1 Walikuja mpaka upande mwingine wa bahari, katika mkoa wa Gerasi \v 2 Na ghafla wakati Yesu alipokuwa akitoka nje ya mtumbwi, mtu mwenye roho chafu alikuja kwake kutoka makaburini.
|