sw_mat_text_ulb/11/01.txt

1 line
332 B
Plaintext

\v 1 Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao, \v 2 na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake, \v 3 na wakamuuliza, "Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?"