sw_mat_text_ulb/17/17.txt

1 line
229 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 17 Yesu akajibu akisema, "Enyi Kizazi kisichoamini na kilichoharibika, nitakaa pamoja nanyi mpaka lini? Nitavumiliana nanyi hata lini? Mlete hapa kwangu." \v 18 Yesu alimkemea, na pepo akamtoka. Kijana aliponywa tangu saa ile.