1 line
274 B
Plaintext
1 line
274 B
Plaintext
|
\v 7 Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, "Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa __tete likitikiswa na upepo? \v 8 Lakini nini mlikwenda kuona__mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
|