swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/11.txt

1 line
315 B
Plaintext

\v 11 Na malaika ya Bwana alimutoke kwo mukono wa kuume kusimama kumazabau ya ubani. \v 12 Na kionyesho ya malaika, Zakaria anachanganyikwa na ku ogopa. \v 13 Na malaika akamwambia: «Usiongope Zakaria sababu maombi yako bana ishikiya. Na bibi yako Elizabeti atazala mtoto mwana une na bata mupanga jina lake Yoane.