\v 11 Na malaika ya Bwana alimutoke kwo mukono wa kuume kusimama kumazabau ya ubani. \v 12 Na kionyesho ya malaika, Zakaria anachanganyikwa na ku ogopa. \v 13 Na malaika akamwambia: «Usiongope Zakaria sababu maombi yako bana ishikiya. Na bibi yako Elizabeti atazala mtoto mwana une na bata mupanga jina lake Yoane.