sw_pro_text_reg/27/01.txt

1 line
164 B
Plaintext

\v 1 Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini. \v 2 Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.