sw_pro_text_reg/01/01.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 1 Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli. \v 2 Mithali hizi zinafundisha hekima na maarifa, kufundisha maneno ya busara, \v 3 ili mpate maarifa kwa ajili ya kuishi kwa kutenda wema, haki na adili.