sw_pro_text_reg/20/21.txt

1 line
161 B
Plaintext

\v 21 Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni. \v 22 Usiseme " Mimi nitakulipiza kwa kosa hili" Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.