sw_pro_text_reg/21/11.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa. \v 12 Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.