sw_pro_text_reg/03/25.txt

1 line
172 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 25 Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea, \v 26 kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.