1 line
166 B
Plaintext
1 line
166 B
Plaintext
|
\v 22 Mtu mwovu atatekwa na makosa yake mwenyewe; kamba za dhambi yake zitamnasa kwa nguvu. \v 23 Atakufa kwa kukosa maonyo; atapotelea mbali kwa upumbavu wake wingi.
|