sw_pro_text_reg/03/33.txt

1 line
173 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 33 Laana ya Yehova ipo katika nyumba ya watu waovu, bali huibariki maskani ya watu wenye haki. \v 34 Yeye huwadhihaki wenye dhihaka, bali huwapa hisani watu wanyenyekevu.