1 line
184 B
Plaintext
1 line
184 B
Plaintext
|
\v 13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi. \v 14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
|