sw_mrk_text_ulb/15/14.txt

1 line
223 B
Plaintext

\v 14 Pilato akasema, "Amefanya jambo gani baya?" Lakini wakazidi kupiga kelele zaidi na zaidi "Msulibishe." \v 15 Pilato akitaka kuwaridhisha umati, akawafungulia Baraba. Akampiga Yesu mijeledi kisha akamtoa ili asulibiwe.