sw_mrk_text_ulb/15/14.txt

1 line
223 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 14 Pilato akasema, "Amefanya jambo gani baya?" Lakini wakazidi kupiga kelele zaidi na zaidi "Msulibishe." \v 15 Pilato akitaka kuwaridhisha umati, akawafungulia Baraba. Akampiga Yesu mijeledi kisha akamtoa ili asulibiwe.