sw_luk_text_ulb/11/14.txt

1 line
236 B
Plaintext

\v 14 Baadaye, Yesu akawa anakemea pepo, na mtu mwenye pepo alikuwa bubu. Ikawa pepo lilipomtoka, mtu huyo aliweza kuongea. Umati wakastaajabu sana. \v 15 Lakini watu wengine wakasema, huyu anaondoa mapepo kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo.