sw_luk_text_ulb/11/14.txt

1 line
236 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 14 Baadaye, Yesu akawa anakemea pepo, na mtu mwenye pepo alikuwa bubu. Ikawa pepo lilipomtoka, mtu huyo aliweza kuongea. Umati wakastaajabu sana. \v 15 Lakini watu wengine wakasema, huyu anaondoa mapepo kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo.