sw_lam_text_ulb/03/40.txt

1 line
240 B
Plaintext

\v 40 Natujichunguze njia zetu na kuzijaribu, na tumrudie Yahweh. \v 41 Na tunyanyue mioyo yetu na mikono yetu kwa Yahweh mbinguni: \v 42 "Tumekosea na kuasi, na haujasamehe. \v 43 Umejifunika na hasira na kutukimbiza, umeua na haujanusuru.