sw_lam_text_ulb/01/10.txt

1 line
166 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 10 Adui ameeka mkono wake kwenye hazina zetu za thamani. Ameona mataifa yakiingia sehemu yake takatifu, japo uliamuru wasiingie katika sehemu yako ya kukusanyikia.