sw_jhn_text_reg/03/01.txt

1 line
266 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Basi palikuwa na Falisayo mmoja jina lake Nikodemo na kiongozi wa kiyahudi. \v 2 Alimnjia Yesu wakati wa usiku na kumwambia,"Rabi,twajua wewe ni mwalimu atokae kwa Mungu maana hamna mtu yeyote awezaye kufanya ishara hizi uzifanyazo isipokuwa Mungu yu naye"