sw_jhn_text_reg/20/28.txt

1 line
165 B
Plaintext

\v 28 Naye Thomaso akajibu na kumwambia, "Bwana wangu na Mungu wangu." \v 29 Yesu akamwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini. Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona."