sw_jhn_text_reg/19/21.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, "Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi." \v 22 Naye Pilato akawajibu, "Niliyoandika nimeandika."