sw_jhn_text_reg/18/06.txt

1 line
165 B
Plaintext

\v 6 Kwa hiyo alipowaambia, "Mimi ndiye" walirudi kinyume na kuanguka chini. \v 7 Halafu akawauliza tena, "Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena "Yesu mnazareth."