sw_jhn_text_reg/17/15.txt

1 line
207 B
Plaintext

\v 15 Siwaombei kwamba uwatoe ulimwenguni bali uwalinde na yule mwovu. \v 16 Wao si wa dunia kama vile mimi nisivyokuwa wa ulimwenguni. \v 17 Uwaweke wakfu kwako mwenyewe katika Kweli; neno lako ndiyo kweli.