sw_jhn_text_reg/16/15.txt

1 line
203 B
Plaintext

\v 15 Vitu vyote alivyonavyo Baba ni vyangu; kwa hiyo, nimesema kwamba Roho atachukua mambo yangu na atayadhihirisha kwenu. \v 16 Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi tena, mtaniona."