sw_jhn_text_reg/16/01.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 1 Nimewaambia mambo haya ili msiweze kukwazwa. \v 2 Watawatoa nje ya masinagogi; hakika saa inakuja ambayo kila atakayewaua atafikiri kuwa anafanya kazi njema kwa ajili ya Mungu.