sw_jhn_text_reg/14/30.txt

1 line
238 B
Plaintext

\v 30 \v 31 \30 Sitaongea nanyi maneno mengi,kwa kuwa mkuu wa dunia hii anakuja.Yeye hana nguvu juu yangu,\31 lakini ili kwamba ulimwengu upate kujua kwamba nampenda Baba,nafanya ambacho Baba ananiagiza mimi.Inukeni,na tutoke mahali hapa.