sw_jhn_text_reg/13/21.txt

1 line
212 B
Plaintext

\v 21 Wakati Yesu aliposema haya, alisumbuka rohoni, alishuhudia na kusema, "Amini, amini, nawambia kwamba mmoja wenu atanisaliti." \v 22 Wanafunzi wake wakatazamana, wakishangaa ni kwa ajili ya nani alizungumza.